Blogger Widgets

Tuesday, May 21, 2013

Malfred ngoma mpya ya reggae inayokwenda kwa jina Pigana, sikiliza na ku-download hapa

Ikiwa ni mkono mwingine toka Label Ya Maisha Music,Malfred anakuja na ngoma mpya kabisa ya reggae inayokwenda kwa jina Pigana, Ikiwa ina ujumbe mzito kwa jamii haswa vijana wa Kisasa. Pata  ku-Download HAPA Powered by www.vmgafrica.com

0 comments:

Post a Comment