
Sura
hiyo hapo ni ya mwanamke. Bila shaka umeshwahi kukutana na sura kama
hii katika maisha yako. Kama hujawahi kukutana nayo huenda kuna siku
utakutana nayo. Jaribu kuzingatia mdomo, meno, macho na paji la uso.
Zingatia baadaye, sura nzima kwa ujumla.Mwanamke mwenye sura kama hii ana tabia zifuatazo:Ni
mwanamke mcheshi na anayependa kujichakesha. ni mwanamke ambaye ana
uwezo na ufahamu mkubwa kiakili. Anajua sana kujiuliza maswali...