Blogger Widgets

Monday, February 25, 2013

WEMA SEPETU ATANGAZA NAFASI ZA KAZI KATIKA KAMPUNI YAKE MPYA"ENDLESS FAME FILM"

Msanii wa bongo movie 'Wema Sepetu' siku chache baada kufungua kampuni yake mpya Endless Fame Film.
Leo kupitia katika ukurasa wake wa twitter ametangaza nafasi za kazi mbalimbali ikiwemo,graphic designer,editor,camera man,usekretari.

Maelezo zaidi soma hili tangazo kutoka katika kampuni yake 'Endless Fame Film' wakitangaza nafasi za kazi!!!!!

0 comments:

Post a Comment