Blogger Widgets

Monday, February 25, 2013

Hii hapa ile simu ambayo Nokia wameizindua inayotunza chaji kwa mwezi mzima (itauzwa shilingi 30,000 tu) SOMA HAPA UJUW UNAWEZA KUIPATA VIPI

nokia 2
Baada ya Nokia 1100 huenda Nokia 105 ikaja kuwa simu maarufu zaidi hasa kwenye nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Hii ni baada ya kampuni hiyo ya simu kuzindua simu hiyo yenye uwezo wa kutunza chaji kwa siku 35 kila unapochaji.
Simu hiyo imetengenezwa maalum katika maeneo ambayo umeme hakuna ama unasumbua lakini pia kama ‘backup phone’ pale zingine zinapozima.
nokia
Ikiwa inatarajia kuingia sokoni wiki kadhaa zijazo, Nokia 105 ambayo bei yake ni paundi 13, sawa na shilingi 30,000 za Tanzania pia ina tochi na FM radio.

0 comments:

Post a Comment