Blogger Widgets

Monday, February 25, 2013

HIZI HAPA PICHA ZA MSIBA WA GOLDIE, MUME WAKE NA WENGINE WALIOHUDHURIA.



http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/02/1100.jpg
.
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/02/249.jpg
Andrew Harvey mume wa Goldie.
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2013/02/346.jpg
.
Dada wa Goldie akiwa na marafiki
.
.
Wa pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndioGoldie alifia mikononi mwake akiwa amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko Ikoyi Lagos Nigeria.
.
.
.
.
.
.
.
Mwimbaji Tiwa Savage na mchumba wake.
.
Gazeti la Daily Post liliripoti leo asubuhi kwamba msanii Goldie ambae aliiwakilisha Nigeria kwenye jumba la Big Brother 2012 anazikwa leo, baada ya muda kupita ndio nimezipata hizi picha za msiba wa Goldie ambae alifariki siku ya Valentine feb 14 2013.
Imeripotiwa kwamba manenoya mwisho ya Goldie yalikua ni kumuomba baba yake amuombee apone maumivu makali ya kichwa aliyokua nayo ambapo Daily Post wameripoti tena kwamba staa huyo alifariki akiwa njiani kupelekwa hospitali, foleni ya magari siku hiyo ya wapendanao ilichangia kuchelewa kufika hospitali.
Chanzo mojawapo cha kifo chake ni shinikizo la damu na maradhi ya moyo.

0 comments:

Post a Comment