Blogger Widgets

Tuesday, February 26, 2013

WASANII BONGO FLAVA KUSINGIZIANA UCHAWI NI KUKOSA UBUNIFU KATIKA KAZI ZAO

YAMOYONI:Shindano la mkali wa rhimes kama lingefanyika mwaka 2012 au 2013 nadhani tungesema Afande sele amechinja kondoo 100 wa kafara ili ashinde ama ameua albino,kipindi kile Juma nature anatamba na album yake ya ugali ,Ferooz na nyimbo yake ya ukimwi,Professor,Dully & Mr Nice kipindi kile wanaonekana miungu watu nadhani ingekua kile kizazi ni kizazi kama tulichonacho sisi kwasasa ungesikia hawa ni mafremason,mwingine angesema hawa ni wachawi wanatembelea nyota za akina Ngurumo,jumbe,shaban dede ama mzee issa matona.Lakini kuonesha tofauti ilokuepo kati ya kizazi kile na hiki wale walikua wamekaa kimya kila mtu akijaribu kutafuta njia ya kupata mashabiki kupitia staili mbalimbali za kimziki.Amini ninachokwambia kuna tofauti kubwa sana kati ya kizazi kile cha mziki ule na kizazi hiki cha sasa cha kina Bob jr na Ney wamitego,na ndomana kikaitwa kizazi kipya na upya umedhihirika.Sasa nirudi kwenye mada yangu.Kwamimi ninachofahamu ni kwamba mganga ndo siku zote atakaekwambia nani anakuroga,na unapomsikia mtu anasema karogwa ujue alienda kwa mganga sasa jiulize alifuata nini?Hapa tunapause kwanza……Inaendelea: http://lindiyetu.blogspot.com/2013/02/wasanii-bongo-flava-kusingiziana-uchawi.htmlq-chief6


0 comments:

Post a Comment