Blogger Widgets

Friday, February 22, 2013

AMBER ROSE NA WIZ KHALIFA WAPATA MTOTO WA KIUME

 
Amber Rose  na mchumba wake Wiz Khalifa  sasa ni wazazi wanaojivunia kwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume.
Sebastian Taylor Thomaz (yes, ikiwa na  a z mwisho) amezaliwa siku ya  jana alhamis mchana

Mapema siku hiyo ya jana a proud papa Wiz Khalifa alipost picha akiwa amevaa posted a picture wearing scrubs na   face mask na maelezo yaliyokuwa yakisema  "daddy time."  wakati wa baba
mida ya saa nane mchana akipost, "Happy Birthday Sebastian "The Bash" Taylor Thomaz!!! Everyone welcome this perfect young man into the world"

mara ya mwisho wawili hao. Amber na Wiz, walionekana katika tuzo za grammy, wii mbili zilizopita, huku rose akionekana na tumbo lake kuuuubwa katika tight dress nyeusi

0 comments:

Post a Comment