Blogger Widgets

Saturday, March 16, 2013

ARSENE WENGER ATAKA KUSAJILI STRIKER HATARI KUTOKA FIORENTINA KWA DAU LA KUVUNJA REKODI YA KLABU


NYOTA Stevan Jovetic ameibuka kuwa mchezaji chaguoa la kwanza anayetakiwa na Arsenal mwishoni mwa msimu, na The Gunners wanajiandaa kuvunja rekodi yao ya dau kubwa la kusajili mchezaji kwa kumnyakua mshambuliaji huyo wa Fiorentina striker.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Montenegro amekuwa kwenye rada za Arsene Wenger kwa miezi 18, huku skauti wa klabu hiyo wakimfuatilia kwa karibu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23.

TAKWIMU ZA JOVETIC: 

2006-2008: Partizan       (Mabao 13 katika mechi 51)
2008-2013: Fiorentina    (Mabao 34 katika mechi 108)
2007-2013: Montenegro (Mabao 10 katika mechi 21)

Angalia video chini kabisa
Solution: Arsene Wenger wants Stevan Jovetic to spearhead his side next season
Suluhisho: Arsene Wenger anamtaka Stevan Jovetic kujiimarisha msimu ujao
Jovetic
Jovetic
History: Olivier Giroud (centre) was one of a few players Wenger got his scouts to concentrate on
Historia: Olivier Giroud (katikati) ni mmoja wa wachezaji ambao aliwapa jukumu skauti wake kumfuatilia
 
 

0 comments:

Post a Comment