Blogger Widgets

Friday, March 29, 2013

Msichana apigwa na bwana wake baada ya kunyonya chuchu za Diamond

Show ya Diamond platnumz iliyofanyika Kahama, imefagiliwa kwenye mitandao mbalimbali kwa ukali wake. Kama kawaida, mara nyingi vituko huambatana na matukio ya watu kujirusha usiku. Show ya Diamond haikuwa tofauti.
Binti alipokua kwenye show ya Diamond, uzalendo ulimshinda, akaenda kunyonya chuchu za diamond kama inavyoonekana pichani hapa chini. Kitendo hicho kilimuudhi bwana wake, ambapo alimvuta binti huyo na kumchapa makofi. Katika picha ya pili, binti huyo anaonekana akilia baada ya kuchezea kichapo, huku akiwa amewekwa “chemba” na boyfriend wake.
 Binti uzalendo ulimshinda, akaenda kumnyonya matiti Diamond

Binti huyo akilia baada ya kuvutwa na kuchezea kichapo kutoka kwa bwana wake
Binti huyo akilia baada ya kuvutwa na kuchezea kichapo kutoka kwa bwana wake

Kifua cha Diamond kilichomfanya binti uzalendo umshinde
Kifua cha Diamond kilichomfanya binti uzalendo umshinde

0 comments:

Post a Comment