Blogger Widgets

Saturday, March 30, 2013

SINTAH NA MANGE KIMAMBI NDANI YA BIFU ZITO .... WASOME WANAVYOCHAMBANA

  

SINTAH

MANGE
MANGE AKAANDIKA HAYA........
I THINK WENGI WETU TULIAMUA KUMU IGNORE TU HUYU MBWA KOKO......KAMA MIMI NDO KABISAAAAA YANI NILIKUWA NISHASEMA NGOJA NIFANYE KAMA HAYUPO HAI...... JAMANI
KILA SIKU LAZIMA ANITUKANE KWENYE COMMENTS ZAKE? NILIM CONTACT KISTAARABU NIKAMWAMBIA SINTA ACHANA NA MIMI, SIKUJUI TUHESHIMIANE, ILA WAPI JITU HALIELEWI.

SIJUI BLOG YAKE HAINOGI BILA KUMTAJA MANGE KIMAMBI. ALAFU

UKILIAMBIA ETI LINASEMA SIO MIMI NAWEKA COMMENTS NI ADMINISTRATOR. SURA KAMA ADMINISTRATOR UNA HELA YA KUWEKA ADMINISTRATOR WEWE. MFYUUUUU.....

MIJITU MINGINE BWANA, YANI LAST WEEK NILIBOREKA KIDOGO NKAMZABUE VIBAO. JITU LINAJUA KABISA STORY NI ZA UONGO SASA ANAWEKA COMMENTS ILI IWAJE? BORA HATA BASI ANIFATE FATE MIMI, SOMETIMES ANAWEKA HATA COMMENTS ZA KUTUKANA

WATU AMBAO HATA HAWAJUI JUST BECAUSE HAO WATU WANA ISSUE NA MIE. YANI LAST WEEK NILISEMA NGOJA NKAMZABUE MABAO TUTAHESHIMIANA NIKAPELEKWA HADI KWAKE KANAKAA SINZA PALE BAMAGA, YANI HAPO ANAPOKAA TU NILIMUONEA HURUMA. NKAONYESHA NA HICHO KIBIRITI CHAKE ANACHOENDESHA, YANI NIKASEMA MASKINI YA MUNGU ADHABU TAYARI ANAYO SINA HAJA HATA YA KUMUONGELESHA....KHA!!!

WATU MNAAMBIWA MASHAUZI YANATAKA PESA HAMSIKIIII, MTU UNAJISHAUA WAKATI HUNA MBELE WALA NYUMA, U
UNACHEKESHA WALIONUNA TU.UNAJISHAUA NA VINGUO VYA MTUMBA??? MFYUUUUUU, SHENZI KABISA....YANI NAONA HATA AIBU NIMEKAA HAPA NAANDIKA ARTICLE YA YULE MJINGA. ILA LAKINI MTU HAONI KWAMA ANAKUWA IGNORED, KILA SIKU ANANITUKANA ON HER BLOG BUT I IGNORE HER, HATA SIKU MOJA HUWEZI KUKUTA COMMENTS ZA YULE SINTA. HAJIULIZI KWANINI? ANAJIFANYA ANAJUA KUONGELEA MAMBO YA WATU YAKE TUKIONGELEA HAPA TUTAYAMALIZA?
SINTA KUBALI MAISHA YAKO, WEWE NI MTANZANIA WA KIMA CHA CHINI THATS UR STATUS NA SIO MBAYA ,JUST JIKUBALI UNACHEKESHA SANA UNAPOANZA KUTAKA KUWA MATAWI WAKATI YOU DONT HAVE ANYTHING.

HUYU NYAU ALIKUTANA NA MDOGO WA RAFIKI YANGU KWENYE NDEGE ON HER WAY TO UGANDA. KATIKA MAONGEZI HUYO MTOTO AKAMWMABIA AMEFIKIA SERENA HOTEL NA BABAKE. BASI SINTA ASIENDE HADI SERENA HOTEL KUMFATA HUYO MDOGO WA RAFIKI YANGU, ETI NAOMBA KWENDA CHUMBANI KWAKO NIKAPIGE PICHA NIWEKE KWENYE BLOG. HIVI HUYU MTU ANA AKILI KWELI??? JAMANI KAMA HUKUBARIKIWA KUWA NA MAISHA YA JUU EMBU YAKUBALI YAKO TU.

WEWE SINTA KUTAKA KUSHINDA NA MANGE KIMAMBI NI SAWA NA KONDOO ATAKE KUSHINDANA NA SIMBA...CHIEF UTAKUWA UNATANIA....

YOU WILL NEVER BE ME, HATA KARIBU YANGU HUTOFIKA UTAKACHOWEZA KUFANYA NI KUNITUKANA KWENYE COMMENTS ALAFU UJIDAI ETI NI WATU WANANITUKANA....

MBWA MKUBWA MTU SINA BEEF NA WEWE, SIJAWHAI KUGOMBANA NA WEWE, UNANIFATAFATA NINI ?????? NISHAKWAMBIA KISTAARABU MARA MIA KIDOGO HUSIKIIII... ILA UNACHOKITAFUTA KWANGU UTAKIPATA... TENA SHUKURU SIKAI DAR ,

MAANA NIKIJA DAR NIPO BUSY KUTAFUTE MAHELA STAKI KUPOTEZA MUDA POLISI LA SIVYO NGEKUWA NISHAKUTENGUA KIUNO NYAU WE.


HIVI NA NYIE KINA DIDA NA WENGINE MNAOSUMBULIWA NA HUYU PANYA HIVI MNASHINDWA KUMFUNZA ADABU MTU MNAISHI NAE HAPA HAPA TOWN. SIKU MOJA MKAMATENI MUMPE KIBANOO MUMTOE NA NGUO MUMPIGE PICHA MNITUMIE NIWEKE HUMU....

ALAFU MUMFANYIE NA KITU MBAYA MAANA HUYU NAHISI ANASUMBULIWA NA NYEGE TU....HIKI KIHEREHERE ALICHONACHO NI NYEGE ZINAMSUMBUA...ANACHOKITAFUTA ATAKIPATA VERY SOON....




SINTAH AMJIBU....well done madam

Mange upo Dar nitafute unizabe sweet heart, ila kabla hujanizaba nenda kambembelezee sweet Albert poor u uliniomba nitoe comments sikutoa leo unanitukana SHAMIM MWASHA shahidi u begged msg, email ninazo nita print kwa wadau wako waone how desperate u were oooh sintah toa post nikasema sitoi maana sikuogopi.


NB

sigombani na wewe maana nitakuwa mtu wa laki tano hapa mjini tangu uanze kugombana na watu hivi hujiulizi una nini? najua una mtoto karibia umri wangu hebu mfundishe kuvaa pads mwanao, behave basiii soon mwanao anaolewa, kuwa kama mama wa watoto wawili wewe sio duu tena


anyway si kosa lako maana hukufundwa ulikosa radhi ya mama, kumkimbia mama na kwenda matawi ya juu na kumuacha mama yako Tandale, basi mimi na wewe wote tuna papatikia matajiri si etiiii eeeh mwaego


bora mie ninaye kaa kwangu padogo ni kwangu je wewe unajikondesha u fit kwenye double deka tena nyumba ya hawara wa marehemu baba yako, mie na kagari kangu we na tax za Dar si ungenunua gari, ili usipate shida kama matajiri wenzio,
tell ya wadauz ulivyo na maisha ya maigizo
nilikuwa nasubiri uanze sasa endelea,


dawa ya Mange jamani ni Unstoppable

mwenzenu anapiga simu huyo nita print mbona mie simsumbui, sijawahi kupokea cm yako unateseka kuniulizia nakaa wapi kama huogopi comments ungekituliza kama mabaga fresh sasa waniulizia kwa watu wa nini?

shamim muulizeni anavyomkera ongea na sintah kudadadeki nakaa holy wood ya Tzzzz


yes nina MA na wewe ya uarabuni ulikuwa unajifunza kuandika makombe ishiii


mimi nitanyamaza na sina ugomvi na wewe,,, ndo maana umetuma email, texts sikuwahi kuandika humu sasa leo umeanza


wewe original tandale pse ulizia my family background kabla hujanitukana au kwakuwa sijionyeshi kama wewe masikini akipata eeeh coz tumezaliwa navyo we umevikuta,,,


nitiacha hii post mpaka jnee nitaitoa coz of my career je wewe kazi wapi haaaa za kupewa na hubby una keep change


okaybyeeee


wadau 100% ya ile email ya huyu madam ni kweli aliandika asijikoshe kwenu si fekero ni yeye sasa kama mume yupo hawara ya nini??


hakukunii eeh poor u upo kimasilahi eeh si mapenzi ndo maana unapaona pachungu ndoa ndoano dada yangu


Facebook, twitter, blogs zote umeharibu wewe ni mtu wa aina gani?source: http://shiladeux.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment