Blogger Widgets

Wednesday, March 27, 2013

KUNDI LA P. SQUARE LAVUNJIKA! NINA STORY KAMILI HII HAPA

P-Square1-460x396


Kumekuwa na uvumi kuhusu wasanii wanaoliunda kundi la muziki la PSquare kutengana kiasi cha mashabiki wao kubaki wameduwaa.
Hata hivyo Peter na Paul Okoye wameweka wazi kuwa huwa wanaingia kwenye mitafaruku hadi kufikia hatua ya kupigana makonde huku kila mmoja akitishia kutengana lakini wakadai kwamba kama ni kutengana ambae angeweza kuwatenganisha ni mama yao pekee.

Wawili hao wamesema kuwa mama yao aliwalea na kuwaonyesha upendo na mapenzi na kama ingetokea kuwa siku moja itatokea PSquare watatengana basi yatakuwa ni maamuzi ya wazi na kama mmoja wao ataamua kustaafu muziki basi haimaanishi kuwa wataacha kusaidiana.
SOURCE:http://shiladeux.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment