Blogger Widgets

Thursday, March 21, 2013

MAMA YAKE LINEX AMKATAA MCHUMBA WA LINEX AMBAYE NI MZUNGU


Sunday Mangu ‘Linex’ akiwa na mchumba wake Suvi Rikka.
SIKU chache baada ya Mbongo Fleva, Sunday Mangu ‘Linex’ kumvisha pete ya uchumba demu wake mtasha, Suvi Rikka,
mama wa staa huyo, Imelda Barnabas ameibuka na kumchana mwanaye kuwa haitambui pete wala mchumba huyo kwa kuwa kitendo hicho hakina baraka zake wala za familia.



Shemeji yetu katika pose

Linex alipoulizwa juu ya sakata hilo, alifunguka:
“Yah! Bi mkubwa amenijia juu ile mbaya, ila najitahidi kumuomba msamaha, hope atanielewa.”

0 comments:

Post a Comment