Blogger Widgets

Saturday, March 30, 2013

DIAMOND ADHIHIRISHA UBABE WAKE MBELE YA MAELFU YA MASHABIKI MKOANI GEITA

Napenda kumshukuru Mungu kwa Siku ya Jana tarehe 29 mwez wa 3..........
 kuanzia nilipowasili
Mkoani Geita,kwa mapokezi mpaka Usiku nilipoenda kuwajibika
na kukonga nyoyo za mashabiki zangu Mkoani Geita.....
Nashukuru Uongozi Mzima waliosimamia Ulinzi Kuimarika
na kuimarisha  Ulinzi kwa maelfu ya mashabiki waliofurika
ukumbuni Humo....!!
Nawashukuru Mashabiki zangu wote waliojitokeza jana kwenye
show na hata wale ambao walitamani kuwepo lakini kwa sababu
zilizo nje ya uwezo wao awakuweza kufika....!!
Nikiwa na Crew yangu Nzima niliweza kutimiza yale waliyotegemea
wanachi wa Geita...ule udambudambu wa kimanyema wote
niliudondosha Hapa kati....

Hizi hapa chini ni Picha Matukio yote yaliyojiri kwenye Easter Friday
ndani ya Geita.....!!


WASAFIIIIII....
Safari ilianzia hotelini kuelekea Ukumbini.....

Hali ilikuwa hivi kabla ya kupanda Jukwani.....!!

Pole Pole...Alianza kukinukisha na Askari wangu wa Ukweli....
kwenye Stage....!!





Mafia Mnyama...On the one N two...!!






















Eti Nani Amenuna.....? Nani Amenuna??


Wotee....woteee..... Nimpende Nani...? Nimpemndee?
Geita...Nauliza....??

Aaaah kulewa...Kulewa....!!





Geita Hands In the AIR......!!




Kwa Mchezo wa Kuringa Ringa ndio wanadata.....Badilika usiwe...??
Geita Malizia.....!!
Aghaaaa Kidogo.......!!
Dumy & Emma....!!
Baada ya Show Vijana walidondoka Club pembeni ya hotel
na kujirusha kiaina...!

Dumy Utamu & Mafia Mnyama....!!
SOURCE:::http://www.thisisdiamond.com/

0 comments:

Post a Comment