Blogger Widgets

Thursday, March 7, 2013

HAWA HAPA NDIO 5 BEST RAPPER/ MC KUTOKA BONGO

Fid q, Ngosha the swagga don, leo hii amethibitisha ukubwa wa kazi zake na heshima kubwa anayoipata kutoka katika jamii inayofatilia burudani nchini.katika rappers/Mc bongo amethibitisha kuwa namba moja kupitia mtandao wa kijamii wa facebook na twitter, kwa kupata asilimia zaidi ya 90 ya kura zote, na kumfanya kuwa best of the best rappers / mc..huku akifatiwa na Stamina, Roma, Nikki Mbishi na Joe makini..list hii imetokana na comments za mashabiki kupitia mitandao ya jamii

Stamina

Roma

 
Nikki mbishi

 
Joe Makini

0 comments:

Post a Comment