Blogger Widgets

Monday, February 11, 2013

HIVI ULISHAIONA NYUMBA YA MCHUNGAJI LWAKATARE JIJINI DAR? ANGALIA HAPA PICHA ZAIDI YA 6


 

  Muonekano wa mbele wa hekalu la Mchungaji Rwakatare
 MC na mchungaji Haris Kapiga wa Clouds FM
 Mc Harris Kapiga akiwa kazini.
Watu wakijiachia
  Kabati la vyombo 
 Akiwa katika ofisi yake ya nyumbani, kuna sehemu ya kufanyia mikutano, Salon, Studio, na sehemu ya mazoezi.
Wadau wakijiachia kwenye moja wapo ya kochi  la kifahari mjengoni humo
 Wakati wa msosi
 Mambo ya dressing table
Kitanda chake cha kulalia
---
 Mchungaji Getrude Rwakatare amehamia rasmi katika nyumba yake mpya iliyoko Mbezi Beach jijini Dar es Salaam pembezoni mwa bahari ya Hindi. Inaripotiwa kuwa waumini wa kanisa lake wapatao 300 walifika mahali hapo kwa kushuhudia nyumba yake hiyo ya kifahari.

0 comments:

Post a Comment